Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Hii thread imeniletea Headche..... Huyu mdada ndiye aliye sema JF ni kuzuri kuliko Facebook sasa anataka kuingeuza JF kuwa kama FB ambaye yeye mwenyewe alisema kule kuna utoto mwingi...
Na imani utakuwa ni mdada ambaye unajitambaua na ambaye unajua kukabiliana na chagamoto mbali mbali, ina kuwaje una tishika na mtu usiye mja na ambaye hakujui? mpotezee tafadhali, ikiwezekana Block PM zako mtu yoyote Hasiweze kukutumia kama unaona unapata usumbufu.
Na imani utakuwa ni mdada ambaye unajitambaua na ambaye unajua kukabiliana na chagamoto mbali mbali, ina kuwaje una tishika na mtu usiye mja na ambaye hakujui? mpotezee tafadhali, ikiwezekana Block PM zako mtu yoyote Hasiweze kukutumia kama unaona unapata usumbufu.