mmh! Sasa kwa mfano weekend yote ukohome unalala tu?
Kinachoweza kufanyika nyumbani ni kulala tu??!mmh! Sasa kwa mfano weekend yote ukohome unalala tu?
Inategemea nyumba yako ina muonekano gani,
Kama ni safi ,inavutia ,mapambo yamekaa kimpangilio
Miundo mbinu ya home kama TV ,Radio, Laptop or Simu iliyo connected na mtandao
inayokufanya usikosekane JF na kwingineno
hewa ya kutosha ,pasafi ...Utatamani usiondoke ndani tusker or serengeti serengeti kwenye fridge
Ukiingia Room kama ndo kusafi kitandani kinavutia kujilaza ..
Hutaboreka hata kidogo,