I have been puzzled for so long with these 'wakereketwa'. Vilio kila mahali kuhusu hali ngumu ya uchumi na mbaya zaidi 'kila kukicha afadhari ya jana' lakini hawa 'wakereketwa' hawataki kukubali hili. Je, ni ujinga? Je, ni kukata tamaa na chama 'chao' kwamba hawawezi kurekebisha hiyo hali? au ukiwa 'mkereketwa' mathalani una kadi ya CCM ukienda dukani/supermarket au shuleni au chuoni unapata discount ya bei?
Watu wanapaza sauti zao, hali ngumu ya uchumi, wao wanashangilia matusi, kebehi, nyodo, dharau, kauli za kibabe za M/kiti wao....wamerogwa?
Kama pesa za kutuboreshea mishahara hamna, maisha wanayoishi Political figures ifanane na hiyo hali halisi.
Watu wanapaza sauti zao, hali ngumu ya uchumi, wao wanashangilia matusi, kebehi, nyodo, dharau, kauli za kibabe za M/kiti wao....wamerogwa?
Kama pesa za kutuboreshea mishahara hamna, maisha wanayoishi Political figures ifanane na hiyo hali halisi.