Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,104
- 4,738
Hii thread ni sumu sana,wanadanganyana sana lakini wenyewe hawajijui.Eti wanapeana moyo kwa kushauriana jinsi ya kuishi kwa kunywa sumu inayokuua taratibu.Sasa wanaulizana,"eti ukinywa hii sumu inaweza kukuua baada ya muda gani"?Halafu wengine wanajibu,"aah mbona kuna wengine wanahimili madhara yake kwa zaidi ya miaka 30".
He he heeee ujinga bwana!!
Kwani asiekunywa dawa hizo zenye sumu ana guarantee ya kuishi miaka mingapi?