Ukitongoza msichana wa siku hizi jipange

Maisha magumu na wanaume wachache yaani ni tofauti na mademu wa dunia ya kwanza
 
Huyo mwanamke wa ku date nae wiki tu anataka akutambulishe kwa kila mtu anatafuta kupigwa chini. Na ni wazi yuko desperate, hivi vitu vinakuja automatically unam date mtu mpaka wanaowazunguka wanajua huyu ni 'official' kutambulishana tena na higher level zaidi.
 
Eti globalization wao wanasemaga, hahahah. Mbona hamsemi na kuchokana na kumwagana baada dosali ndogo tu
 
Mwanamke anajifanya yuko cool ila kila siku kukutag kwenye picha za engagement hadi za Botswana. Na kila wiki unakumbushwa kuangalia platinum weddings na chereko
 
Mwanamke anajifanya yuko cool ila kila siku kukutag kwenye picha za engagement hadi za Botswana. Na kila wiki unakumbushwa kuangalia platinum weddings na chereko
Haahahahaaaaa..... Chereko imewaharibu sana wasichana nowdays.
 
"Mwanamke kuolewa ni zali/mpango wa mungu, lakini Mwanaume Kuoa ni mipango angu tu ila iko hivi,,,
wasichana ama mabinti wa siku hizi wamesahau wanaume tunataka kuoa wanawake wa aina gani!@ wengi wao huvaa nusunusu na kudhani atavutia wanaume na yupo mmoja atakaye mvutia na kuolewa naye, lakn ukwel ni kuwa wanatumika kiburudani mwisho wa siku anaambiwa achukue ringi lake arudi nyumbani.. baada ya muda anaambiwa kunamwenzako ntamuoa sio wewe .. bada ya hapo Another Game Is Begin"
 
Vitu vinavyochangia.

1. Kuanza mapenzi katika Umri Mdogo. Hii ndio tunaweza sema ni kubwa kuliko zote sababu mabinti wengi wanlkifika 20 anakuwa ameshatembea na wanaume hata kumi. Tayari alishaumizwa vya kutosha kwahiyo we mwanaume ndo uko chuo au umemaliza chuo au ndo umeanza kutoka kimaisha ndo unawaza sasa nawe uanze kutafta mpenzi. Kwahiyo kabla we hujamconfirm tayari ye ashajiconfirm maana yuko desperate kuolewa ashachoka.

2. Chereko ya TBC na vipindi vingine kama hivyo.

Yaan hili ni jipu kwa wadada maana wakiangalia hivi vipindi akili inaruka wanawaza kuolewa tu na kufunga ndoa ya kifahari. Kwahiyo hiyo ukijilengesha tu sijui nakupenda tayari anakuita we mchumba na anataka mfunge ndoa ili na yeye aonekane chereko. Ukimuuliza baada ya hapo maisha yatakuwaje, hajui chochote.

So wazazi wanawajibu wa kukaa na watoto wao toka wakiwa darasa la tatu kuanza kumfundisha maisha. Mzazi unakuta anamfundisha mtoto kukatika ekotite unategemea hapo akikua kitatokea nini. Baadae oooo watoto wa siku hizi, kumbe mzazi hujijui. Pumbafu kabisa
 
Teh teh..Ila ukipata msichana anayetaka kutambulishwa home ujue huyo anajielewa kidogo..Wanawake waruwaru kuwapeleka home inabidi ufanye kazi ya ziada aisee
Ukitaka kumpeleka home utaskia mara ooooh namuogopa mama ako....mara oohh naogopa wifi zangu.....
 
Inaonekana hata hao wazazi wako ni wapole na wataratibu sana, wazazi wengine hawapendi kuona kila kukicha unawapelekea mpenzi mpya. Watakuona kuwa una 'longolongo' nyingi.
mtoto wa nyoka ni nyoka,chatu wanajuana hao.
 
Back
Top Bottom