Anzisha hiyo sredi Some minutes after Lunch Times, kwenye Forum ya MMU halafu iwe inamgusa au inamuongelea Member maarufu wa MMU.
Kuna anayebisha hapa?
Baby...mimi wala sibishi. Unachosema ni kweli kabisa. Ukiweka kwenye neno "Lizzy" kwenye kichwa cha mada lazima tu itashika kasi.
Dadito Huo ndio ukweli. Wengi ndio wanatoka Lunch, Unajua Chips mayai zinaleta ka usingizi na mood ya kazi inakua haipo
we nae na huyo nyani mshaanza topic ya malavidavi. Hii topic ishakosa nguvu, by the way nimeshaanzisha ya nyani ngabu.Just had a Cup of Coffee coz I had a Heavy B/fast.
we nae na huyo nyani mshaanza topic ya malavidavi. Hii topic ishakosa nguvu, by the way nimeshaanzisha ya nyani ngabu.
chit chatumeianzisha wapi?
kasome hawa majamaa balaa. HapahapaMbona siioni kule MMU. au iko kule kwa Mamito Bondeni?
Unaonekana una njaaDayuuum....I love it when you call me Dadito. Btw, what did you have for lunch today?
Unaonekana una njaa