Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

MTENDAHAKI

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
4,013
1,443
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.

Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:

1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana

2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi

2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!

4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema

5.Ni wachapakazi sana

Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.

HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!
 
Hahaahhaahhaha! Haya vaathu nzoni kunu!

Kaskazini pamoto wewe! Wanawake bora ni kusini. Wabena, wahehe nakadhalika!

Hehehe! But vyote hivi bana havina uzito wowote. Tabia binafsi ya mtu ndio inaa uzito.
 
Hahaha mpwa Eli79 mbona umecheka kama mimi aisee?

Ni dada zako nini?
 
Last edited by a moderator:
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......
 
Last edited by a moderator:
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao. Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:
1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana
2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi
2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!
4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema
5.Ni wachapakazi sana
Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu. HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA WANGU!NINGEENDA UPARENI!

Asante kwa taarifa, ila kwa mimi sidhani kama kuna kabila baya au zuri. Utakapo angukia ni kama zali tu. Yaweza kuwa penyewe au sio penyewe. Nina jirani yangu ana mke wake muhehe, ana tabia nzuri sana. Na anazo sifa ulizotaja hapo juu.
 
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......

Seriously?

Yaani Wapare wooooooote wako kama hivyo ulivyoelezea?

You can't be serious!
 
Nani kakudanganya uku kwetu tunawaita chupi juu yakirinda hawana miko awo ata babaake analala nae kwao ruksa nani wao nakukuhakna tofauti
 
Back
Top Bottom