Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Buza na Tandika ni sehemu mbili tofauti. Kwakuwa maelezo yako yanaonyesha hiyo Toyo ipo Buza hebu toa ufafanuzi ni buza ipi? kwa Lulenge, Kanisani au wapi?
Mimi nilidhani ina
uhusiano na uislamu kwa kuwa husomwa na mashehe. Nielimishe katika hili
ndugu. Lugha inayotumika ni ile ya qur-an au ni arabic?
kumbe,,ucpoamini hakuna lolote,na haihicani na mafundisho ya kiislam
Buza kuna pikipiki Toyo ya matairi matatu imepaki pembeni ya barabara yapata mwaka sasa baada ya kuuliza kulikoni nikaambiwa hiyo Toyo imeshauwa watu sita. Wezi waliiba na waliohusika na hiyo Toyo walianza kufa mmoja baada ya mwingine walipofika sita ndugu zao waamua kuileta hapo barabarani wakaitelekeza.
Wakati barabara inajengwa aliletwa shehe aruhusu iwekwe pembeni baada ya kujenga ikarudishwa palepale mpaka hivi leo, tuliendelea kushangaa.
Tuliendelea kumuuliza jamaa mmoja akadai mwenye hiyo Toyo yake hawezi kwenda kuichukua kwa sababu ilishasomewa kitabu yaani Al badir na kama akienda kuichukua na yeye anakufa, hii imekaaje?
Nikifanikiwa kupita tena huko nitawawekea picha hapa.
Natamani ningeona kwenye kuran iwe inataja msamaha kwa watenda dhambi, hapo ningeupenda sana uislamu
Mimi nilidhani ina uhusiano na uislamu kwa kuwa husomwa na mashehe. Nielimishe katika hili ndugu. Lugha inayotumika ni ile ya qur-an au ni arabic?
Angalua umetujuza kitu fulani kuhusu hiyo kitu. Hii inanipa picha kuwa kuna waislamu ambao hawajui mafundisho ya kwenye vitabu vyao.
Nakumbuka miaka ya karibu na 2000 kuna msikiti mmoja upo mwamboni Tanga walikuwa wanatangaza kwenye loud speaker (count down) siku watakayosoma Al Badri kwa kuhimiza mtu aliyeiba kitu fulani(kulingana na aliyeripoti kuibiwa) arudishe hicho kitu kwa mwenyewe vinginevyo atadhurika. Na matangazo kama haya yalikuwa yakitolewa mara kadhaa.
Kwa maana hii hata yule (muumini au shehe) aliyekuwa anatangaza akiwa ndani ya msikiti alikuwa hajui.
Buza na Tandika ni sehemu mbili tofauti. Kwakuwa maelezo yako yanaonyesha hiyo Toyo ipo Buza hebu toa ufafanuzi ni buza ipi? kwa Lulenge, Kanisani au wapi?
Mngalikuwa waadilifu kiasi hiki mngalienda kuvunja, kubomoa na kuchoma makanisa kweli? Hivi mnajua nini maana ya nyumba ya Mungu nyie? Mmebakia kutishiana huku mkitawaliwa na ujinga wa kupindukia. Ukiona mtu wa miaka arobaini anaridhia kuoa mjukuu wake yaani mtoto wa miaka kumi na nne ujue dini yake ni ya shetani. Acheni kuabudu mashetani na ujinga wenu zingatieni maadili. Kwa kweli uislam ni umasikini tena ule wa kutupwa!
Hao ng'ombe kama wapo zenji nishitue nipate mtaji watu hatuna ajira
wala mitaji halafu mitaji inazunguka inaachwa nakuja huko kuwachukua
tuache masikhara bwana