kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Jamani wana Jamii hivi ni nani anayefanya AUDITING pale Medical Stores Department ''MSD'' nilishuhudia gari aina ya canter tani 4 ikiwa imesheheni DAWA MSETO, Ikishusha ktk nyumba ya mtu binafsi na huku zikipakiwa tena ktk gari jingine muda mfupi baadae, sasa nashindwa kuelewa ina maana hao wahusika kweli hawajui kama dawa mseto imeibiwa?