Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
senkyuuuuuuuuuuuu
mwe!!!
senkyuuuuuuuuuuuu
haya ndio mapenzi ya dotcom yalivyo!....yamebase kny artificial things!
Kama kuna jirani yako mwenye cfa hzo hakika natangaza ndoa fastaUkimpata anayekidhi sifa zote hizo, utuambie tukupe zawadi.
inategemea na age yako...
kuna umri ukifika umuhimu wa mtu
unategemeana zaidi na inside ya mtu alivyo kuliko outside
afterall kuna kuzeeka,achilia mbali ajali na magonjwa....
umewahi jiuliza why kuna watu wanaoa walemavu???????????
Kumbuka mungu hakupi vyote na wewe pia utakuwa na matatizo ,mapenzi bwana ni kitu tofauti unaweza mpenda mtu ,macho tu au midomo pekee ,au vile anavyotembea ,akicheka, akiwa anaongea nk nk mie wangu nilimpendea rangi nyeusi ya kiafricaray2:
huko huko kunamfaha! Mmh!Nenda kwa wa china kariakoo ukatoe oda wakutengenezee,just waeleze tu unatakaje utapata.
1-Awe mzuri wa sura
2-Mwelewa
3-Umbo No8
4-Awe mweupe kiasi
Sasa hapo kwenye umbo ngoja nipakazie kidogo kuna wanawake flani wana kua wameumbika bwana unakuta chuchu mwiba,ukishuka maeneo ya kiuno c kikubwa sana but akivaa nguo iliyomshika anaonekana vyema,hips kidogo,awe na vinyweleo vingi tena akiwa na gardenlove ndo kanimaliza kabisa.
Preta mbona ana hizo sifa si u PM mtafute mzungumze sema tatizo preta hapendi watu wa Mara;
no no no, hapo unamsingizia preta. Hana ubaguzi huo.
La ki chi nchu huu haa hapana mi napenda nature awe wa kipare,Mzaramo,Msukuma,wachaga,ila acwe Mnyilamba na wale wa musoma hapana coz wanakeketwa.But mwarabu,Mhindi,Somaria nk pia ruksaNenda kwa wa china kariakoo ukatoe oda wakutengenezee,just waeleze tu unatakaje utapata.
Preta mbona ana hizo sifa si u PM mtafute mzungumze sema tatizo preta hapendi watu wa Mara;
La ki chi nchu huu haa hapana mi napenda nature awe wa kipare,Mzaramo,Msukuma,wachaga,ila acwe Mnyilamba na wale wa musoma hapana coz wanakeketwa.But mwarabu,Mhindi,Somaria nk pia ruksa