Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

mmh?hali ilivobana kwa sasa bidada anaweza akajituma weee lakini ikifika kwenye kipengele cha ruzuku wazee kama sisi wazoefu huwa tunakula kona shaaaaaa,,,enzi za hapendwi mtu linapendwa pochi ilishapitaga kwa sasa hakunaga kivileee
mkuu kukopa noma! Sasa saluni wataendaje?
 
Ta Bishanga MMMMHHHHH kweli wee mkali..Sasa madada wa JF somo tayari tunawatakia mwaka mwema wa mafanikio kutoka mlipo mpaka kuhamia Bunju au Masaki.
mwenzio nasubiria PM hapa zenye full contacts,hadi sasa zishaingia kumi na nane.
 
Shemeji wewe ngoja ninyamaze "Taenda kusema kwa mama"
ndo mana nimesema mchunaji asijuane kabisa na ndugu wa kike wa buzi lako,si unaona jinsi Dena usivyojua mipango yangu ya pembeni?
 
hahaaaaaaa we mwanaume balaa mh!kwa speed ya rais wetu hapo lazima watoto home walale njaa.
 
jamaa kama ni mpenzi wa brandy get him the best vsop usijali bei na kama ni whysky achana na ma red label we ambaa na black,blue au gold au ma chivas ya ukweli,hali kadhalika na wine dodoma wana wine high quality siku hizi kama 'The President',we wekeza tu dear italipa.
(ps: usisahau kumpokea wearing the right negligee ,see through?)

aiseee umenifungua macho Bishanga! Napitia brandy sasa hivi nim surprise leo.
 
Una hamu ya kuchunwa bishanga. Watu wenyewe hamjachunwa tu mnakuja kulia lia jf, mkichunwa itakuwaje!!
 
hahaaaaaaa we mwanaume balaa mh!kwa speed ya rais wetu hapo lazima watoto home walale njaa.
kuna wadada wamekariri hili desa ni hatari,najiandaa kuwatumia invoice ya royalty.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom