Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #61
wa college tena? sasa sisi wengine ung'enge mbona haupandii tutawezana na hao vipi?Hehe eti asiombe vocha!! sasa kama binti mwenyewe wa college ataomba gari??
anyway cha msingi ujue mwanamke akikuomba vocha basi na mwanaume anamchukulia level hiyo,lakini ukikuta mwanamke ana kwake,nje kapaki rav4,sebuleni flat screen mwanaume unadhani utamhonga vocha huyo au yeye atakuomba vocha?