Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
SITAKI Maswali MENGI
Ha ha aha aha aha umetisha mkuu:shetani:
SITAKI Maswali MENGI
ni add code gani;;;yoyote btwn zile nilizochagua orrwarning!!,application and admission process
is done only once,you have applied and you
have admitted already,not allowed to apply
twice,thanks!!.
ni add code gani;;;yoyote btwn zile nilizochagua orr
duuu cas haijaanza kipindi hcho bro 2010/2011mna haraka ya nini? Leo mnatamani kuingia vyuoni, kesho mnaanza harakati za kudai meals and accomodation allowances. Ni vema mkaacha jazba ya kudahiiwa. By the way, unaweza kudahiliwa na tcu ukapangiwa chuo, lakini chuo wakakutosa. Haya tuliyashuhudia 2006/2007
ni add code gani;;;yoyote btwn zile nilizochagua orr
yera yera nimechaguliwa thanx
ujumbe unasemaje uandike hapa
Ingia web ya TCU na ulog in kwenye account yako.Nenda kwenye profile yako uclick hapo.Profile ikifunguka nenda kaclick kwenye applicaionn 2nd round.Baada ya kuclick itakuja option ya add code ya program kwa ajili ya second round ya selection.Ukiaad hiyo code alafu uje kwenye save changes uclick hapo.Baada ya kuclick save changes itakuja message amabayo itasema kama umeshachaguliwa na hauruhusiwi tena kuomba.Mimi nimefanya hivyo na kuletewa ujumbe huo.
Angalizo:Application 2nd round inayoonekana baada ya kulog in achana nayo na badala yake nenda moja kwa moja kwenye profile kama nilivyokueleza hapo mwanzoni.
Nimeshapata homa bhandugu, sijui nianze kulia.
Mkuu nimefungua saa hizi kwenye profile yangu hakuna application 2nd round option, nimecheki saa hizi saa 2:14pm
Hebu fafanua kidogo
Mkuu nimefungua saa hizi kwenye profile yangu hakuna application 2nd round option, nimecheki saa hizi saa 2:14pm
Hebu fafanua kidogo
TCU wamegundua kuwa tayari G THINKERS kuna kitu wamepata taarifa imeishavuja.Wajanja tayari tumeishashusha presure kilichobaki ni chuo gani tumepelekwa.TANZANIA NI ZAIDI UIJUAVYO
TCU wamegundua kuwa tayari G THINKERS kuna kitu wamepata taarifa imeishavuja.Wajanja tayari tumeishashusha presure kilichobaki ni chuo gani tumepelekwa.TANZANIA NI ZAIDI UIJUAVYO
Mbona ipo?