Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Kwa wanaopenda kutafakari napenda kuwakaribisha katika tafakari yangu hii. Waweza kuipanua, naamini itakusogeza hatua kadhaa mbele katika uchambuzi wa mambo.
1. Uhai wa mtanzania ni nini?
2. Nani wanawajibika kuulinda uhai wa mtanzania?
3. Je, wajibu huu unaweza kukasimiwa?
4. Je, ikitokea uhai wa mtanzania ukitoweka kwa sababu yoyote, nini haki yake, wawakilishi wake, jamii ya watanzania?
5. Nini uhusiano wa uhai wa mtanzania mmoja mmoja na:
o Daktari?
o Polisi?
o Mwanajeshi (JW)?
Karibu Great thinker.:A S crown-2:
1. Uhai wa mtanzania ni nini?
2. Nani wanawajibika kuulinda uhai wa mtanzania?
3. Je, wajibu huu unaweza kukasimiwa?
4. Je, ikitokea uhai wa mtanzania ukitoweka kwa sababu yoyote, nini haki yake, wawakilishi wake, jamii ya watanzania?
5. Nini uhusiano wa uhai wa mtanzania mmoja mmoja na:
o Daktari?
o Polisi?
o Mwanajeshi (JW)?
Karibu Great thinker.:A S crown-2: