Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Hehehe siku hizi hata madila wa genuine parts wanauza feki spares. Kazi ni kwako!
cha muhimu ni kugandana na duka moja.....ili wakuzoee wasikushikishe masikio......zimwi likujualo......
Hehehe siku hizi hata madila wa genuine parts wanauza feki spares. Kazi ni kwako!
i see
The Boss vua kofia anza kukuna kichwa utaelewa tu
Ivi ukiweka oil ya BP kwenye Gear box iliochoka inakuwaje?cha muhimu ni kugandana na duka moja.....ili wakuzoee wasikushikishe masikio......zimwi likujualo......
ushauri wa kwamba gari lipumzishwe si uliutoa wewe honey?, mimi naomba mungu unambie tuliendeshe kila siku tena ikiwezekana overspeed.Ha...mi najua ufunguo umeuficha ndani, gari nimepaki wiki ya pili sasa sikuoni nikajua hutaki niendeshe .....basi niletee ufunguo laaziz
ukiweka reverse gear usishangae ukaona gari linakwenda mbele heheheehIvi ukiweka oil ya BP kwenye Gear box iliochoka inakuwaje?
Inategemea pia make ya hilo gari, mfano gari nyingi wanafanya service after 10,000-15,000KM, lakini wale tunaoendesha BMW tunafanya service after 25,000km, na uzuri wake spare zake ni genuine, kazi kwenu mnao service kila mwezi
Ivi ukiweka oil ya BP kwenye Gear box iliochoka inakuwaje?
Klorokwin ya kweli haya??ukiweka reverse gear usishangae ukaona gari linakwenda mbele heheheeh
Najua unamuulizia bosi wako....mwambie pesa yake tu!khaaa! hivi mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki helikopta kwa katiba ya bongo?, usiulize nani anataka kumiliki helikopta pliz!
wewe unaweka engine oil kwenye gear box?.....hilo gari kimeo.....uza skrepa
ushauri wa kwamba gari lipumzishwe si uliutoa wewe honey?, mimi naomba mungu unambie tuliendeshe kila siku tena ikiwezekana overspeed.
Acha tu mzee siku izi watu wana tempa mpaka na digital spidometa! Yaani kitu kimeenda maileji ya ziro tano wanato ziro moja unajiona mjanja unaweka oil ya PB!ukiweka reverse gear usishangae ukaona gari linakwenda mbele heheheeh
umeona eeh hiyo gari ishachoka hata mteja haipati
yaliwahi kutokea mtaa wa pili tu hapo, Mungu mkubwa! mbele kulikuwa na dimbwi la maji gari likakwama ghafla hivyo halikuathiri.Klorokwin ya kweli haya??
Teh teh tetehee mi mtazamaj hapa lol
unachafua CV dada. bora turudi kwenye mada ya magari na garage kuliko mtindo huu.Najua unamuulizia bosi wako....mwambie pesa yake tu!