msilaumu garage tu na magari yenyewe siku hizi shaghala baghala, utakuta gari utazani jipya kumbe ukipiga start tu linamwaga moshi kama nuclear weapon. Unaweza ukalaumu fundi kumbe gari lenyewe liko beyond repair. khaaa!
msilaumu garage tu na magari yenyewe siku hizi shaghala baghala, utakuta gari utazani jipya kumbe ukipiga start tu linamwaga moshi kama nuclear weapon. Unaweza ukalaumu fundi kumbe gari lenyewe liko beyond repair. khaaa!
uliwahi kuziba baskeli yako nini? mbona unaonekana kuwaelewa sana?
honey umesahau ufunguo ninao mimi? au umechongesha copy bila kunijulisha?. patachimbika ujue.njoo uchukue ufunguo upeleke gari garage.....mi wale mafundi siwapendi
khaaa! hivi mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki helikopta kwa katiba ya bongo?, usiulize nani anataka kumiliki helikopta pliz!Hahahhahaha aka mi naendesha mchuma wa ukweli siwezi kupeleka gereji za mashenzini!!!Nasikiaga tu watu kama wewe wakilalamikia pancha kila leo!!
honey umesahau ufunguo ninao mimi? au umechongesha copy bila kunijulisha?. patachimbika ujue.
for the first time hapa jf sielewi kinachozungumzwa
ni nini???????????
siielewi bado....
Usijali The Boss, naamin wapo wanokufanyia hio service... inahusiana na zile Range R unazoendeshwa na dereva wako.
festiledi. wale wanaomiliki mabaskeli makweche je unawashauri nini?
i hope sijatukanwa hapo.maana sielewi kitu..
FL1
Inataka kusoma mara ya 3 ndio uanze kujibu thread hii.
Ngoja nisome tena kwa mara ya pili.
Ila umewaza sana hadi kufikia muafaka wa kuandika hii maneno!
Vipi Genuine part ipo home au bado iko Japan? Safari hii ikija uendamane nayo hadi huko huko Japan maana mi nina mashaka huenda huko kuna spea nyingi hadi zinamfanya muagizaji ashindwe kurudi mapema. ha ha haaaa.
LOL... LOL... Labda unielekeze unapotoka nyumbani asubuhi na mapema unatoka vipi kuelekea kati kazi na mizunguko yako.....(nimiona nitumie njia hio maybe utaelewa....lol)
siielewi bado....
hao tena ....kuna garaje za mchina kila spea inapatikana pale...