- Thread starter
- #181
Pia kumbuka kukata bima kubwa si unajua tena ndio unaingia kwenye game na ajali haina kinga mdau hivyo once lolote likitokea unakuwa compensated na si kuanguka kwa pressure, sio mtaalamu sana kwenye hii business ila mwanzo unatakiwa uifuatilie kwa karibu sana ikiwezekana hata siku moja moja unajifanya na wewe kuendesha kama leseni yako inakuruhusu ila kwa style ya nia njema sio ya kumfanya mpaka dereva akushitukie kwamba unamfuatilia (hawa staff wa daladala pamoja na kwamba wengi wanaonekana ni wahuni wakati mwingine inatakiwa style flani ya kuwa-handle)
Jodoki K, asante sana. Nina jamaa yangu ambaye anafanya hii biashara Shinyanga. Miezi miwili iliyopita moja ya Hiace zake ilipinduka na kuuwa abiria wawili (askari) na kujeruhi wengine kadhaa. Bahati nzuri alikuwa amekata "CTP Insurance" na "Comprehensive Insurance" hivyo "liability" haikuwa kubwa sana. Huu ni ushauri mzuri sana.