Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Dr Mohammed Ghalib Bilal aliteuliwa kuwa CM wa Zanzibar 1995 na kushika madaraka hadi 2000 akiwa na Rais wake Salmin Almour a.k.a Komandoo. Kabla ya hapo alikuwa PS-Wizara ya Sayansi na Teknologia kuanzia 1990.
Mwaka 2000 Bilal akiwa CM na Komandoo akiwa Rais wake walianzisha mpango kabambe wa kuitikisha serikali ya Mzee Ben, hadi Komandoo kujitokeza adharani na kutamka kuwa mtu yeyote anayedhani na kufikiria kuizua Zanzibar kujiunga na OIC anatikisa kiberiti, maneno na mienendo ya Komandoo na Bilal iliwa tia hamasa nakuwaadaha sana Wazanzibar walio wengi kiasi cha kujenga matumaini makubwa sana kwa Komandoo mwenyewe na msaidizi wake Dr. Bilal! Ni wakati huo ambapo Bilal na Komandoo pia waliwai kuota ndoto ya kupinda katiba ya Zanzibar hili kumuongezea Komandoo muda.
Wakidai muda zaidi kwa ajili ya Zanziabar huru zaidi wakijifanya miaka kumi haikuwa tosha na pia walifikia hatua ya kujidai kuwa wakipata nafasi watabadili mfumo wa Muungano hili Zanzibar iwe huru zaidi hisiingiliwe na Serikali ya Muungano wanapotaka kufanya mambo yao ya kimataifa, Komandoo na Bilal waliendelea kujinasibu na hata pale mkakati wa kubadili katiba ulipo kwama Komandoo alitamka dhahiri kuwa Rais wa Zanzibar atakuwa Dr. Bilal iwe hisiwe na kuwa lengo kuu ni kubadili aina ya muungano ili Zanzibar ielekee OIC, hayo maneno yalifurahisha sana wengi wa Wazanzibari na kuendelea kuweka matumaini yao yote juu ya Dr. Bilal; Katika ile inayoitwa Zanzibar special CCM committe mchuano wa kura za Urais wa zanzibar ulikuwa ni kama ifuatavyo (Komandoo akiwa ndio Mwenyekiti): -
Maskini Wazanzibar kumbe Seif na Bilal si lolote walikuwa wanatafuta madaraka na shibe ya tumbo zao! Tuliamini wakipata nafasi kuna jipya! Wapo leo na mbona wamefunga midomo yao, wote wamepewa nafasi na Kikwete kwa makusudi kabisa! Mbona Dr. Bilal alipoapishwa tu alikimbia kula raha Mbuga za serengeti na kusaka na rumba USA? hayo ndio matumaini makubwa aliyowajengea wazanzibar juu yake?
Kumbe muda wote Wazanzibar waliweka matumaini yao juu ya watu wawili wanafki na wenyewe tamaa ya madaraka kiasi cha kuperekea kuuwawa kwa vijana wengi tu wakipemba na wengine mpaka leo wamezamia UK.
Tokea kupata nafasi ya Makamu wa Rais wa Muungano sijamsikia akiongelea tena OIC wala kubadili aina ya mfumo wa Muungano amefunga mdomo maana kishapata madaraka na hicho ndio kilikuwa shida yake.
Ukitaja wanafki waliowai kuiadaha Zanzibar, wenye tamaa na uchu wa madaraka, ukimtaja Maalimu seif husimsahau na Dr. Mohammed Ghalib Bilal.
Mwaka 2000 Bilal akiwa CM na Komandoo akiwa Rais wake walianzisha mpango kabambe wa kuitikisha serikali ya Mzee Ben, hadi Komandoo kujitokeza adharani na kutamka kuwa mtu yeyote anayedhani na kufikiria kuizua Zanzibar kujiunga na OIC anatikisa kiberiti, maneno na mienendo ya Komandoo na Bilal iliwa tia hamasa nakuwaadaha sana Wazanzibar walio wengi kiasi cha kujenga matumaini makubwa sana kwa Komandoo mwenyewe na msaidizi wake Dr. Bilal! Ni wakati huo ambapo Bilal na Komandoo pia waliwai kuota ndoto ya kupinda katiba ya Zanzibar hili kumuongezea Komandoo muda.
Wakidai muda zaidi kwa ajili ya Zanziabar huru zaidi wakijifanya miaka kumi haikuwa tosha na pia walifikia hatua ya kujidai kuwa wakipata nafasi watabadili mfumo wa Muungano hili Zanzibar iwe huru zaidi hisiingiliwe na Serikali ya Muungano wanapotaka kufanya mambo yao ya kimataifa, Komandoo na Bilal waliendelea kujinasibu na hata pale mkakati wa kubadili katiba ulipo kwama Komandoo alitamka dhahiri kuwa Rais wa Zanzibar atakuwa Dr. Bilal iwe hisiwe na kuwa lengo kuu ni kubadili aina ya muungano ili Zanzibar ielekee OIC, hayo maneno yalifurahisha sana wengi wa Wazanzibari na kuendelea kuweka matumaini yao yote juu ya Dr. Bilal; Katika ile inayoitwa Zanzibar special CCM committe mchuano wa kura za Urais wa zanzibar ulikuwa ni kama ifuatavyo (Komandoo akiwa ndio Mwenyekiti): -
- Dr. Mohammed Ghalibu Bilal kura 44 (60%)
- Abdisalaam Issa Khatibu kura 13 (18%)
- Amani Abeid Karume kura 9 (12%)
- Kura zilizo aribika 8 (10%)
Maskini Wazanzibar kumbe Seif na Bilal si lolote walikuwa wanatafuta madaraka na shibe ya tumbo zao! Tuliamini wakipata nafasi kuna jipya! Wapo leo na mbona wamefunga midomo yao, wote wamepewa nafasi na Kikwete kwa makusudi kabisa! Mbona Dr. Bilal alipoapishwa tu alikimbia kula raha Mbuga za serengeti na kusaka na rumba USA? hayo ndio matumaini makubwa aliyowajengea wazanzibar juu yake?
Kumbe muda wote Wazanzibar waliweka matumaini yao juu ya watu wawili wanafki na wenyewe tamaa ya madaraka kiasi cha kuperekea kuuwawa kwa vijana wengi tu wakipemba na wengine mpaka leo wamezamia UK.
Tokea kupata nafasi ya Makamu wa Rais wa Muungano sijamsikia akiongelea tena OIC wala kubadili aina ya mfumo wa Muungano amefunga mdomo maana kishapata madaraka na hicho ndio kilikuwa shida yake.
Ukitaja wanafki waliowai kuiadaha Zanzibar, wenye tamaa na uchu wa madaraka, ukimtaja Maalimu seif husimsahau na Dr. Mohammed Ghalib Bilal.