hermes
Member
- Jul 15, 2010
- 17
- 0
Ilikuwa jana usiku katika taarifa ya habari nilipo shuhudia watu wakishangilia kukubaliwa na kupitishwa kwa sheria ya kuruhusu ndoa ya jinsia moja huko Argentina.Nilishangaa nilipo sikia kuwa si Argentina pekee Duniani iliyo pitisha sheria hiyo tu!kumbe kunanchi nyingine saba zilizo pitisha pia.Nikabaki nashangaa tu! na kujiuliza maswali mengi kichwani hivi kwani humu dunianai kuna idadi kubwa ya Wanawake kuliko Wanaume au kuna idadi kubwa ya Wanaume kuliko Wanawake mpaka inafikia hatua watu wa jinsia moja wanaowana, na inakuwaje na wanafanyaje tendo la ndoa.inasikitisha sana kuona jambo hilo.Na sijui itakuwaje siku ya mwisho pindi watakapoulizwa kuhusu jambo hilo kwa maana Mungu kakataza kitu hicho.Nazipa sifa kubwa nchi za kiarabu kwa misimamo yao mikali kuhusu jambo hilo.:crying: