Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Leo nimejikuta nashangaa nikaambiwa unashangaa nini?
Men kujiweka soap, na kujipodoa usharobaro. Wanaketi mahoteli makubwa na kuvizia wanawake wawanunulie kinywaji!
Ama kweli maisha yamebadilika.Kumbe wanaotemeatemea mate kwenye glass masaa siyo wanawake peke yao tu siku hizi!
Hata wanaume wamo!
Men...wakanyeni wenzenu..... wanawatieni aibu!
Ladies..beware! Mkiona mi men imekaa kihasarahasara kwenye migahawa na mahoteli msidhani wanasubiri appointment
wako mawindoni....
Men kujiweka soap, na kujipodoa usharobaro. Wanaketi mahoteli makubwa na kuvizia wanawake wawanunulie kinywaji!
Ama kweli maisha yamebadilika.Kumbe wanaotemeatemea mate kwenye glass masaa siyo wanawake peke yao tu siku hizi!
Hata wanaume wamo!
Men...wakanyeni wenzenu..... wanawatieni aibu!
Ladies..beware! Mkiona mi men imekaa kihasarahasara kwenye migahawa na mahoteli msidhani wanasubiri appointment
wako mawindoni....