Mzururaji
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,559
- 1,272
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida wilayan kasulu sinto faham imeibuka miongoni mwa makaran wa sensa kasulu mjini kuhusiana na malipo yao pamoja na makato wanayo katwa makarani tshs=2500 ya chakula bila ridhaa yao huku wakilishwa wali maharagwe kwa kiasi hicho cha fedha. walipo muuliza MSIMAMIZI wa sensa kutoka ofisi ya takwimu Taifa alipo takiwa kutoa ufafanuzi juu ya makato ya chakula na idad ya siku za semina pamoja na mikataba alisema hafaham lolote kuhusiana na mikataba na siku za semina huku akibonyezwa na waratibu wa semina ambao inasemekana wameandaa mkataba wao ambao haupo sehemu yoyote Chakula wanacho toa kwa makaran kina thaman ya tsh=1500 hivyo wao kuwaibia wasimamiz na makaran wapatao 700 tshs=1000 kwa kila mwana semina hivyo kutengeneza faida ya laki 7 kila siku kutokana na makato hayo.
Baada ya kutokea sintofaham hiyo ilibid hali ya taharuki izuke kituoni hapo na kumfanya msimamiz huyo wa kitaifa kwa mkoa wa kigoma akimbie kituo hicho cha bögwe kwa kupitia mlango wa nyuma na kukimbia ikisemekana kahofia usalama wake
ilipo fika jana trh 18 maafisa usalama na watu wa takukuru kuja jion yake makaran wote waliambiwa semina imesitishwa kupisha idd halaf itaendelea baada ya idd na mpaka leo makaran hawajasain mikataba ya kazi
*my take msimamizi wa sensa tena kutoka ofisi ya taifa takwimu kusema hajui chochote kuhusiana na mikataba na posho je anaficha nini*
NCHI YANGU SERIKALI YANGU !
SOURCE: mimi mwenyewe eneo la tukio
Baada ya kutokea sintofaham hiyo ilibid hali ya taharuki izuke kituoni hapo na kumfanya msimamiz huyo wa kitaifa kwa mkoa wa kigoma akimbie kituo hicho cha bögwe kwa kupitia mlango wa nyuma na kukimbia ikisemekana kahofia usalama wake
ilipo fika jana trh 18 maafisa usalama na watu wa takukuru kuja jion yake makaran wote waliambiwa semina imesitishwa kupisha idd halaf itaendelea baada ya idd na mpaka leo makaran hawajasain mikataba ya kazi
*my take msimamizi wa sensa tena kutoka ofisi ya taifa takwimu kusema hajui chochote kuhusiana na mikataba na posho je anaficha nini*
NCHI YANGU SERIKALI YANGU !
SOURCE: mimi mwenyewe eneo la tukio