Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Ama kweli taifa limekuwa la wasanii na linakera kwa vimbwanga vyake! Ukisikiliza Bunge la Tz utasikia MCHAKATO, MIRADI, MEGAWATT, TAKWIMU, JITIHADA kedekede. Usijali, #TumuachieMungu
<br />Upembuzi yakinifu,serikali sikivu,tumejaribu,mtuamini n.k
''Awali ya yote natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wapiga kura wa jimbo langu........br br br bra bra bra bra nawahakikishia sita waangusha.....''Nia thabiti na mipango endelevu, napenda kumpongeza mh wazir kwa hotuba yake nzur iliyojaa matumain tele kwa watz. Mwisho kabisa nimshukuru mke wangu mpenz kwa uvumiliv wake.
<br />Ama kweli taifa limekuwa la wasanii na linakera kwa vimbwanga vyake! Ukisikiliza Bunge la Tz utasikia MCHAKATO, MIRADI, MEGAWATT, TAKWIMU, JITIHADA kedekede. Usijali, #TumuachieMungu
<br />Nia thabiti na mipango endelevu, napenda kumpongeza mh wazir kwa hotuba yake nzur iliyojaa matumain tele kwa watz. Mwisho kabisa nimshukuru mke wangu mpenz kwa uvumiliv wake.
Muongozo wa Spika
Fedha zimeshatengwa
Mradi utaanza baada mwaka ujao wa fedha