Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Mkuuu hhapo afukuzwi mtu.
Bunge lenyewe hilo wanasema mdomoni huku nyuma wanagawana,
Bunge lenyewe hilo wanasema mdomoni huku nyuma wanagawana,
.nataka niwe objective kidogo hapa. Tundu Lissu alimtaja Kafumu kuchukua posho zile. Ni wazi alijua kuwa naye Makinda na Pinda walilamba. Mbona hakuwalipua pale? Hii tuiweke vipi?
Sasa ninathibitisha kuwa CC Magamba yote mijizi!! na wanaowashabikia ni mataahira kabisa. Faiza fox, Mbopo, comment pleaseNimesoma mwanahalisi la leo kumbe Pinda na Makinda nao walisaini pesa za jairo ili hali wenyewe serikali inawalipia kila kitu.
Hao wawili walisaini kila mmoja 280,000 kwa kikao kisichozidi dakika 40. Sasa huyu ndo yule aliyekataa shangingi na ndio maana alikuwa mstari wa mbele sana kutetea bajeti huu ni uhuni sana!
Niambieni Waziri Mkuu mmoja aliyekuwa sharp na competent au mweledi haswa! Wote bogus!
Nimesoma mwanahalisi la leo kumbe Pinda na Makinda nao walisaini pesa za jairo ili hali wenyewe serikali inawalipia kila kitu.
Hao wawili walisaini kila mmoja 280,000 kwa kikao kisichozidi dakika 40. Sasa huyu ndo yule aliyekataa shangingi na ndio maana alikuwa mstari wa mbele sana kutetea bajeti huu ni uhuni sana!
Hana lolote.Tukitaka kuwa wakweli January Makamba anaweza kuwa miongoni mwa wana CCM wachache sana makini waliobaki.
Niambieni Waziri Mkuu mmoja aliyekuwa sharp na competent au mweledi haswa! Wote bogus!
kwa kweli january namkubali ni mmoja kati vijana wachache wenye akiri nzuri ndani ya ccm