we mdada! Taratibu, cna hakika km kimeo unakifahamu vzr, haya huyo mz umsukumiae madongo ana kimeo ki1! Ww unamiliki vimeo vngp? Usianzishe STONEWAR wkt unakaa kwny nyumba ya vioo! Huyo mzee wengine sie mkwe we2 "Baba mzaa utamu/ucngizi wng" fanya bac uwe unazimua ukali wa maneno. USHA'NFAHAMU?
Ndege mjamja hunaswa na tundu bovu, kote huko tamiseni kapita poa tuu, hapa bungeni anaaza kudharirika, mchezo wenye we ndio huo!!!!!!!!! Ndio maana Bwn Luhanjo akasema hayo ni mambo ya kawaida kuiba kwenye wizara ni mbo la kawaida mradi saini ya katibu mkuu !!!!!!!!!!!!!!ndio maana siku wanajadili alikuwa mdogo sana. nafikiri alikuwa anawaza kitakachojiri
Ndege mjamja hunaswa na tundu bovu, kote huko tamiseni kapita poa tuu, hapa bungeni anaaza kudharirika, mchezo wenye we ndio huo!!!!!!!!! Ndio maana Bwn Luhanjo akasema hayo ni mambo ya kawaida kuiba kwenye wizara ni jambo la kawaida mradi saini ya katibu mkuu !!!!!!!!!!!!!!
mwana halisi lishaingia mwanza.john ii ! Th's news we need. Unatushushia v2 vnaeleweka, na ni kwl kw 2lio mbali (km mimi niko mwz) mwanahalisi kufika ni jioni, "data with testmon" namna gani inaonesha your parents hawakupoteza mikwanja yao kukupeleka shule! Unaweza ukajiuliza ni kw nini nakupa uzito nna specific means! Jana ktk jukwaa hili somebody mmemkwa ka2letea b/news ambazo ni nyeti kwmb tayari mh. Mamvi el na mh. Ex aton gen. Washavuliwa kama magamba! Hbr zile hazikua na source, pa1 nakua gazeti somtyms c lazima liwe actual bt atlist u hv a soure! Jana 2lipata usumbufu usio wa lazima.
Naomba kutoa hoja!
Unashangaa nini mkuu?
Ulishaambiwa hakuna mtu msafi katika serikali na CCM kwa ujuma wote wachafu.
Ukianza kupekenyua unaweza kufa kwa presha wote wale wachafu wanazidiana tu huyu kasaini 280,000/= wkt Ngeleja kasaini milioni 4.
Nimesoma mwanahalisi la leo kumbe Pinda na Makinda nao walisaini pesa za jairo ili hali wenyewe serikali inawalipia kila kitu.
Hao wawili walisaini kila mmoja 280,000 kwa kikao kisichozidi dakika 40. Sasa huyu ndo yule aliyekataa shangingi na ndio maana alikuwa mstari wa mbele sana kutetea bajeti huu ni uhuni sana!
Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa mungu, CCM hakuna msafi hata mmoja
Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa mungu, CCM hakuna msafi hata mmoja
Hii title "Ukisikia Pinda ni mnafiki ona sasa haya" inamislead. Ingerekebishwa na kusema "Ukisikia CCM ni wanafiki na wamekubuhu kwa usanii ona sasa haya". Kimsingi kumpick Pinda pekee miongoni mwa genge zima la majambazi ni kumuonea.
Katika taarifa iliyochapishwa kwenye gazeti la raia mwema la novemba 23 yenye kichwa cha habari "Pinda, Makinda, wavuta za Jairo" imechapishwa fomu ya malipo ya jumla ya sh 1,120,000/= kwa viongozi wanne huku jina la Mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini January Makamba likiwa limekatwa. Kwa mujibu wa jedwali January alipaswa kupokea 280,000/= lakini hakuzipokea. Mimi naanza kuamini kwamba kauli za January ni kielelezo halisi juu ya imani na msimamo wake kwenye maswala yenye maslahi kwa taifa na je tuna vijana wangapi ndani ya CCM wanaoweza kufanya anayoyafanya January?
GZ
point yangu ni kwamba unatumia masaburi kufikiria na kujibu hoja, sasa sisi inakuwa ngumu kukuelewa maana umekalia.
Nimesoma mwanahalisi la leo kumbe Pinda na Makinda nao walisaini pesa za jairo ili hali wenyewe serikali inawalipia kila kitu.
Hao wawili walisaini kila mmoja 280,000 kwa kikao kisichozidi dakika 40. Sasa huyu ndo yule aliyekataa shangingi na ndio maana alikuwa mstari wa mbele sana kutetea bajeti huu ni uhuni sana!
nataka niwe objective kidogo hapa. Tundu Lissu alimtaja Kafumu kuchukua posho zile. Ni wazi alijua kuwa naye Makinda na Pinda walilamba. Mbona hakuwalipua pale? Hii tuiweke vipi?Nimesoma mwanahalisi la leo kumbe Pinda na Makinda nao walisaini pesa za jairo ili hali wenyewe serikali inawalipia kila kitu.
Hao wawili walisaini kila mmoja 280,000 kwa kikao kisichozidi dakika 40. Sasa huyu ndo yule aliyekataa shangingi na ndio maana alikuwa mstari wa mbele sana kutetea bajeti huu ni uhuni sana!