mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,411
- 8,394
Hii kali mtoto wa mkulima kama traffic analamba mpaka buku.!
we mdada! Taratibu, cna hakika km kimeo unakifahamu vzr, haya huyo mz umsukumiae madongo ana kimeo ki1! Ww unamiliki vimeo vngp? Usianzishe STONEWAR wkt unakaa kwny nyumba ya vioo! Huyo mzee wengine sie mkwe we2 "Baba mzaa utamu/ucngizi wng" fanya bac uwe unazimua ukali wa maneno. USHA'NFAHAMU?PINDA ni KIMEO kuliko JK
Pole...mbona watokwa mapovu? twende taratibu! sijaelewa point yako ni nini haswa!!
Katika kupambana na wezi haijalishi iwe CDM au NCCR au nani, kama ni mwizi lazima awajibishwe!!!!!!!!!!! Sasa mbaya saana hawa wezi wakubwa ndio watawala wa nchi hii ndio maana tunapiga kelele wajiudhuru au tuwalazimishe kujiudhuru, maandamano nchi yote vyama vyote bila kutetea wizi Ndg Rejeo, umenielewa?????????hahah...Za wabunge wa CDM ndio zimejaa,,,,mbaya zaidi huwa hawaudhurii vikao, kazi kutoka tu nje! halafu wakifika majimboni wanawadanganya wananchi kuwa huwa hawasini posho! kweli huu ni ufisadi at highest degree
Mara 1000bora LOWASSA kuliko PINDA
Ni mwepesi wa kusahau au huyu PM ni kilaza hajui rushwa maana yake nini!!!!!!!!!!!!Hakuna msafi ktk Serikali hii.
Mbaya zaidi alishawahi kuapa kanisani kuwa siku akipokea rushwa Mungu aichukue roho yake.
Haisaidii wote ni wanafiki wezi hakuna aliye bora, wote wameoza tayari hawafai kabisa ni waovu!!!!!!!!!!!Mara 1000
Hee Bwn Johnsecond ukisikia baraa hilo ni baraa, sasa huyu Mhs Pinda mtoto wa mkulima kwa nini yeye kama waziri mkuu asiulize hizi fedha tunazosaini na kupewa ni za nini?????????? Ni sawa kabisa na waziri Ngeleja pamoja na Malima walio saini 4 million bila kuuliza fedha hizi ni za nini, kweli tuna serikali ua usanii tuu!!!!!!!!!!!
Teeeh Teeeeeh Teeeeeeeeh!!! Kaaazi kweli kweli. Eeeh na huyo Nape anagonga M10,20,na 30 kutoka wapi?Alikataa kwa sababu ilikuwa ndogo nape mwanzake angonga mpaka m10 M20 M30 halafu yeye laki 280 hata mimi ningekataa, Mtoto wa mkulima yeye kanyagwa twenda hat buku kumi kama polisi wetu yeye mkulima bwana
we mdada! Taratibu, cna hakika km kimeo unakifahamu vzr, haya huyo mz umsukumiae madongo ana kimeo ki1! Ww unamiliki vimeo vngp? Usianzishe STONEWAR wkt unakaa kwny nyumba ya vioo! Huyo mzee wengine sie mkwe we2 "Baba mzaa utamu/ucngizi wng" fanya bac uwe unazimua ukali wa maneno. USHA'NFAHAMU?
na hakuna atakaye resign! Kweli Viongozi wa ki tz ni noma, pinda mgongo alifikia stage ya kulia bungeni kuonyesha uzalendo wake! Then akatamka bungeni angekuwa ana madaraka angemtimua jairo, kumbe keshakula hela! These guys! in which trees have we picked our leaders! It seem everyone of them is rotten, wish they rot and perish, ooh what a wish.
We Mdada Maria taratibu bac! csemi ucfunguke laa! Funguka ado'ado, huyo Mz umsukumiae midongo wengine Sie mkwe we2! "Baba mzaa utamu na ucngizi wng" usichokoze STONE-WAR wkt unaishi kunako nyumba ya udongo, aidha cna hakika km kimeo unakifahamu vzr, haya ukiulizwa Mz Pinda anamiliki kimeo ki1, ww unamiliki vmeo vngp? Jb unalo?PINDA ni KIMEO kuliko JK
Nimesoma mwanahalisi la leo kumbe Pinda na Makinda nao walisaini pesa za jairo ili hali wenyewe serikali inawalipia kila kitu.
Hao wawili walisaini kila mmoja 280,000 kwa kikao kisichozidi dakika 40. Sasa huyu ndo yule aliyekataa shangingi na ndio maana alikuwa mstari wa mbele sana kutetea bajeti huu ni uhuni sana!
Mama kubwa umenitesa kwa kicheko, du!Hii kali mtoto wa mkulima kama traffic analamba mpaka buku.!