Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
kwa sura na umbo lake, ni kigeugeu kiasili!
Nimecheka sana mkuu kwa hili! Huwa comment zako zinaniachaga hoi!
kwa sura na umbo lake, ni kigeugeu kiasili!
If this is true then we have a huge mountain to climb. I guess Jairo & CO will be free in this issue though not ASAP.
Na Lowasa aliirudia hiyo statement
bora LOWASSA kuliko PINDA
Rejao umenusa nini weka hapa, mbona umebonyeza kitufe?????????????wabunge nao wamesign na wapinzani wamo pia
Na DR Kafumu alisign about TZS 940,000 a day. Jamaa hana hata mwezi Bungeni lakini tayari kachafuka.
Kila jamii ikiangamia lazima kutabakia masalia yawezekana pia Januari akawa masalia ya CCM. Na pia tukupumbe ile Darwin Theory of Evolution and survival of the fittest na yale maelezo kuwa sio lazima mtoto wa daktari awe daktari