na hili ndio tumbo la bia!!!
Na hili ndio tumbo la bia!!!
mbona mnaharibu maana halisi ya mguu wa bia,
sisi tuliozaliwa enzi za titanic mguu kama huu tuliuita mguu kigimbi,kimbunga au kiazi sasa vijana wa leo eti huu ndo mnauita wa bia.
mguu wa bia unakua umejaa kuanzia juu hadi chini yaani ukiweka pimamaji inapinda kidogo hapo chin lkn huu hebu imagine ukiupima na pimamaji hicho kigimbi hapo juu.
hebu fuata hii link ukajionee mguu unaofanana na chupa ya bia.https://www.jamiiforums.com/jamii-p...i-wewe-kimekuvutia-nini.html?highlight=:love:
sio wangu lkn.
Ruksa mkuu..... ila ni lazima unitumie copy ya ID yako ya mpiga kura ili kuthibitisha jinsia yako!Mkuu naomba muongozo kidogo hapo kwenye red! je ni ruksa kwa wakaka kama kina El Toro kutumia hii kama avatar?
Mkuu naomba muongozo kidogo hapo kwenye red! je ni ruksa kwa wakaka kama kina El Toro kutumia hii kama avatar?
labda bia fupi
jamani tusaidiane hio ngozi nyororo kama hio inapatikana kwa kupaka nini?
Ukijaa juu hadi chini si unakuwa mguu tende jamani, hapo pia mvuto unakuwa wa mashaka
Kweli jamani hizi avatar huwa zinatuchanginyi wengine....kuna kipindi nilikuwa namsumbua sana El toro kwa jinsi alivyoumbika kumbe nikaja kugundua kwamba yeye ni dume na ile ni avatar tu! Kuanzia siku hiyo nilikoma kutongoza wakinadada wa JF.
kitu Primus hii