Ukishikwa......

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,694
58,763
........shikamana!

Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k

Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu unaamua kumpotezea tu!

Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!

Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!
 
........shikamana!

Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k

Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu unaamua kumpotezea tu!

Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!

Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!




ahhh leo bwana lunch yangu ni UGALI WA MUHOGO na nyama choma,spinach kdg na kachumbari maharage yakipatikana si mbaya sana

au nikikosa ni mwendo wa makange pale kati mwendo kamili!!

rr ule wali njegere ..sawa?


 
Mapenzi natamani yasingekuwepo yanauzi sana




mhh apana....yangekwepo ila kwa semester moja tu ya pili yangenda likizo!!!!!

mwezi wa 1-6 mapenzi motomoto mwez wa 7-12 yangeenda likizo ili kusiwe na kuboana wala kuchokana..
 
mhh apana....yangekwepo ila kwa semester moja tu ya pili yangenda likizo!!!!!

mwezi wa 1-6 mapenzi motomoto mwez wa 7-12 yangeenda likizo ili kusiwe na kuboana wala kuchokana..


Mmmhhh Hapana YASINGEKUWEPO KABISAAAAA maana kipindi cha mapenzi ingekuwa noma sana watu wasingefanya kazi na wengine wangelazimisha hata wakati yakiwa leave wafanye tu...... mi nafikiri( japo simlaumu MUNGU wetu) tusingekuwa na hivi vidude viwilil miilini mwetu....Vinabore sana.
 
mhh apana....yangekwepo ila kwa semester moja tu ya pili yangenda likizo!!!!!

mwezi wa 1-6 mapenzi motomoto mwez wa 7-12 yangeenda likizo ili kusiwe na kuboana wala kuchokana..

yaani nadhani kungekuwa hakuna kuachana aisee, kuna wakati yanaboa mpaka bac yaani huyatamani kabisa kabisa, mie nikiborekaga huwa natafuta safari ya lazima, ndio kama nilivyopotea humu cku mbili tatu hizi....lol
 
Mimi hizi uzi zako zinanichanganya saana Partner... zinzongea mule mule;
kunichanganya kunakuja kutokana na wewe kutokuemo humo kama sisi but
sometimes i feel you know more than sisi wahusika.... Dah! :doh:
Despite kua you are my MP Napenda your threads, so educative
 
Mmmhhh Hapana YASINGEKUWEPO KABISAAAAA maana kipindi cha mapenzi ingekuwa noma sana watu wasingefanya kazi na wengine wangelazimisha hata wakati yakiwa leave wafanye tu...... mi nafikiri( japo simlaumu MUNGU wetu) tusingekuwa na hivi vidude viwilil miilini mwetu....Vinabore sana.

hahaha....halafu hayanaga bahati haya, kuna aliyebahatika kuwa kwenye mapenzi motomoto mwanzo mwisho? mwaka unapita mpo kama paradise vile?
 
hahaha....halafu hayanaga bahati haya, kuna aliyebahatika kuwa kwenye mapenzi motomoto mwanzo mwisho? mwaka unapita mpo kama paradise vile?

nyamayao bana........hicho hakipo labda mmoja awe parasite na mwingine awe ***** hapo yataenda ila mkioana tu basi yanakwisha....




MAPENZI YANA RUN DUNIA
 
Mimi hizi uzi zako zinanichanganya saana Partner... zinzongea mule mule;
kunichanganya kunakuja kutokana na wewe kutokuemo humo kama sisi but
sometimes i feel you know more than sisi wahusika.... Dah! :doh:
Despite kua you are my MP Napenda your threads, so educative

Partner nimeletwa kwenu kufikisha ujumbe na kumwaga taaluma!!Lolzz...just kidding!
Haya wote yanatuhusu...hata sie SINGLE LADIES tunaona wanaume wenye magubu wametuzunguka mpaka tunakosa raha!Siku nikijikuta niko ndani yaliyomo sijui ntayaweza au yatanishinda!!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom