Wajinga dio waliwao,...
huyu dada ni mnyarwanda,anaimba kwaya ya "Ambassadors of Christ choir"
Watu wanapenda avatar kweli wanajikuta wanatongoza midume duh
Ndo maana nilikuwa najiuliza nimemuona wapi huyu dada nikashindwa kupata jibu
Kumbe ni hao ndugu zetu bana
nawapenda sana wana Ambassador wanaimba bana
hahahaha mkuu hiyo ni sawa kabisa kutongoza madume ipo sana maana unashangaa unatongoza kumbe ni mwanaume