Hamad Rashid: Kweli wewe leo umekuwa wa kuponda chama cha upinzani?? Umesahau kuwa ulishawahi sema kuwa "hamuwezi kuwwachia nguruwe wale peke yao shamba lazima mle wote!!!!.
Au unataka nafasi kwenye serikali ya mapinduzi, maana kama nakumbuka vizuri huna nafasi yoyote. Tutamwambia Maalim Seif akukumbuke eh baba. Tushajua tatizo lako.
Au unataka nafasi kwenye serikali ya mapinduzi, maana kama nakumbuka vizuri huna nafasi yoyote. Tutamwambia Maalim Seif akukumbuke eh baba. Tushajua tatizo lako.