Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Nini faida ya sikukuu hiyo kwa utamaduni wetu?
Bangi ni haramu na ipigwe vita kwa nguvu zote.
Masikukuu ya kijinga kama haya clouds wakiyaona wanaanza kuyapigia debe na kuyapromote hatimaye kutuharibia vijana wetu.
Lady jay dee ana mpango wa kuleta sikukuu ambapo kila kitu haramu kitatumika siku hiyo.
If you don't mind buddy, please can you spare Clouds Fm a little bit. Let them out of this mess. We've talked about them so much such that i feel as being unfair to them!kijinga........ clouds wakiyaona wanaanza kuyapigia debe