kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
wadau leo tumshauri mwenyekiti wa cdm hapa.
Mhe wa chama cha kidemokrasia tafadhali mwaka huu simamia demokrasia katika uchaguzi wa ndani,yeyote atakaye gombea nafasi ya mwenyekiti apewe fomu wajumbe waamuwe.
Mhe wa chama cha kidemokrasia tafadhali mwaka huu simamia demokrasia katika uchaguzi wa ndani,yeyote atakaye gombea nafasi ya mwenyekiti apewe fomu wajumbe waamuwe.