Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
Kwa kawaida kila kiongozi huwa ana malengo ya kufikia katika kipindi cha uongozi wake, malengo hayo ndio huzaa mipango, mikakati, majukumu na utendaji a kila siku. Mara nyingi viongozi wetu huwa na malengo yanayofanana...kuboresha hali za maisha ya wananchi. Tofauti inakuja katika mipango, mikakati na utekelezaji wake katika kufikia lengo.
Nikipewa idhini ya kuongoza nchi yetu, nitakuwa na agenda mbili tu kama msingi wa kufikia lengo la kuboresha maisha ya wananchi.
1. Chakula cha kutosha kwa kila kinywa
2. Uhuru wa kutoa maoni kwa kila mwananchi
Nakaribisha maoni
Annina
Nikipewa idhini ya kuongoza nchi yetu, nitakuwa na agenda mbili tu kama msingi wa kufikia lengo la kuboresha maisha ya wananchi.
1. Chakula cha kutosha kwa kila kinywa
2. Uhuru wa kutoa maoni kwa kila mwananchi
Nakaribisha maoni
Annina