Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Kuna watu wameumbwa duniani kwa aina ya kivyao
nasema hivi kwa kuwa nimekujja kuona kuna wakati wegine
wanapendwa wanaafanyiwa kila kitu na wenzi wao wanachoitaji
lakini wapi kila siku ugomvi ..majibishano,matukano...
wengine NGUMI mtindo mmoja..ikiwa weye wa aina hii
embu kama mwenzio anakupenda jitahidi na wewe upendeke
ati ridhika na mwenzio alichokuwa nacho Mungu ndio kakukutanisha
nae akiwa hapo mkiwa pamoja mnaweza ongezeka ama kumalizwa kabisa
Mapenzi ya kweli yawe ngao yenu;kweli kuna wengine washenzi wahuni
lakini kama unapendwa na unajua unamtesa mwenzio dhambi yake
Ya YUDA ESKARIOTI NDOGO jua hilo kama SI hapa Mwisho wa shuguli
nasema hivi kwa kuwa nimekujja kuona kuna wakati wegine
wanapendwa wanaafanyiwa kila kitu na wenzi wao wanachoitaji
lakini wapi kila siku ugomvi ..majibishano,matukano...
wengine NGUMI mtindo mmoja..ikiwa weye wa aina hii
embu kama mwenzio anakupenda jitahidi na wewe upendeke
ati ridhika na mwenzio alichokuwa nacho Mungu ndio kakukutanisha
nae akiwa hapo mkiwa pamoja mnaweza ongezeka ama kumalizwa kabisa
Mapenzi ya kweli yawe ngao yenu;kweli kuna wengine washenzi wahuni
lakini kama unapendwa na unajua unamtesa mwenzio dhambi yake
Ya YUDA ESKARIOTI NDOGO jua hilo kama SI hapa Mwisho wa shuguli