Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
my favourite food umejuaje kha! bathi ngoja nikutajie herufi ya mwanzo anaanziwa na 'M', ila silijui jina lake halisi, natamani hata kuchungulia profile yake naogopa, by the way young master we ni wa kale hapa, hujawahi admire mtu hapa??? mi nimekuja juzi na tayari namuadmire huyo mtu vibaya, yaani comments zake tu, na lyrics zake NAFWA!
yupo mwanada mmoja ambaye ameuteka moyo wangu. yaani ikipita siku bila kuchungulia profile yake nahisi nitaugua siku hiyo.