......... na kisha mkabahatika kupata mtoto,je kwa heshima na kumbukumbu ya jamiiforums huyo mtoto mtamwitaje?
Nahitaji ushauri wa haraka tafadhali.
Unaita Modi hebu funga hilo pazia,ina sound kweli?
Mwaga nondo bana hapa,au mtoto aitwe Yummy?
Baba Y...ina sound eti?
daah m2 mwenyewe nashindwa kumwelewa coz mala aje na tiketi ya ndege eti anafanya kazi zanzibar mala ooh nataka nisome chuo'bt yote kwa yote mimi nilipenda aje kuwa mama watoto pindi muda mwafaka ukifika sasa bado niko njia panda.
Mwaga nondo bana hapa,au mtoto aitwe Yummy?
Baba Y...ina sound eti?
......... na kisha mkabahatika kupata mtoto,je kwa heshima na kumbukumbu ya jamiiforums huyo mtoto mtamwitaje?
Nahitaji ushauri wa haraka tafadhali.
Baba ememyuu mbona ulimi unagandiana?
Baba ememyuu mbona ulimi unagandiana?
daah m2 mwenyewe nashindwa kumwelewa coz mala aje na tiketi ya ndege eti anafanya kazi zanzibar mala ooh nataka nisome chuo'bt yote kwa yote mimi nilipenda aje kuwa mama watoto pindi muda mwafaka ukifika sasa bado niko njia panda.