kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Wana Kigoma wanadai kua Mtu akipangiwa kazi Kigoma ana goma kuja kufanya kazi, akifanikiwa akaja kuanza kazi basi atagoma pia kuhama.
Wanadai kua ukishakula kichwa cha samaki maarufu Kigoma anaitwa MGEBUKA pamoja na dagaa wa Kigoma basi hutoki Kigoma.
Baadae wanamalizia kwa kukupa mke kutoka eneo maarufu linaitwa UJIJI hapo ndo hutoki kabisa yaani ndugu zako wataletewa tu taarifa baada ya kufa.
Wanadai kua ukishakula kichwa cha samaki maarufu Kigoma anaitwa MGEBUKA pamoja na dagaa wa Kigoma basi hutoki Kigoma.
Baadae wanamalizia kwa kukupa mke kutoka eneo maarufu linaitwa UJIJI hapo ndo hutoki kabisa yaani ndugu zako wataletewa tu taarifa baada ya kufa.