Ukiona wamevaa lebasi za ulimbwende ujue kuna jambo!

Shauri yako baba,
Hivi unajua km jamaa mwenyewe ni baunsa??!!
Aolewe nani,mie bado mdogo labda km unaitaka jela!
Kumbe anaitwa baunsa eh! na hivi bado unasoma, namtafutia namna ya kumfungulia kesi ya kumpa lifti binti wa mtu bila idhini ya mzazi..................Lazima nimfunge tu.......................
 
Kumbe anaitwa baunsa eh! na hivi bado unasoma, namtafutia namna ya kumfungulia kesi ya kumpa lifti binti wa mtu bila idhini ya mzazi..................Lazima nimfunge tu.......................
Baba njaa yako ya pesa hiyo itakutokea puan!
Baunsa sio jina lake ni kazi yake sasa km unataka kukumbukia yalokukuta enzi zile ulipokua unamuiga bruc lii,kwa kulia km nyau kuwatishia wale mabaunsa wakakusulu,Chezeiya!!!!!
 
mmh, it looks paradoxical...so kama huna mpango wa kumtia mimba wife/galfriend, kwepa siku ambazo kajiremba/kajipodoa na kutupia pamba zenye mvuto...
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom