Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Jamani watu wana maneno!Umekazana na game mara unasikia "Hivi bae safari ya dodoma na sisi tunaenda?
Jibu; sitaki kujaribiwa na sitajaribiwa atakae nijaribu nitamshughulikia bila huruma
Jamani watu wana maneno!Umekazana na game mara unasikia "Hivi bae safari ya dodoma na sisi tunaenda?
Jibu; sitaki kujaribiwa na sitajaribiwa atakae nijaribu nitamshughulikia bila huruma
Mwana na wewe uko hvyo?Jamani watu wana maneno!
Ha ha ha.Mi huwa hata sielewi kinachoendelea kwani nakuwaga dunia nyingine!Mwana na wewe uko hvyo?
Dah umenitamanisha ila poa tuHa ha ha.Mi huwa hata sielewi kinachoendelea kwani nakuwaga dunia nyingine!
na akijamba gafla ni nini? hahaaaaaaaaaaikitokea akacheka ghafla ndo hatari kabisa
Hahahaa hapo itakua mkwaju umekoleana akijamba gafla ni nini? hahaaaaaaaaaa
huyo anastaili mbata sio la hapa...mwengine anaongea na simu kabisa huku akicheka kana kwamba unagonga gogo vile
UMENENA UKWELI KABISA MKUU.Wanaume kuna dalili ambazo ukiziona mwanamke wako anazifanya mkiwa faraghani ujue wazi hakuna unachofanya. Yaani wewe umejikoki unajua unatoa dozi umejipinda mara ghafla katikati ya mechi unasikia mwanamke anakuuliza "Hivi baby umenunua luku, zilikuwa zimebaki yuniti 2 tu wakati tunarudi?"
Yaani kweli katika ya mechi tamu unadhani mwanamke atakumbuka LUKU??? Au anakuuliza "Hivi baby boss wako yule mrefu yupo kweli?" Blaza ukiona maswali IRRELEVANT kwenye muda RELEVANT ujue unapiga kinanda off key na mwanamke anakutoa kwenye mchezo umalize asepe.
Hahaha fala kweli weena akijamba gafla ni nini? hahaaaaaaaaaa
aisiiiAiseee
Nitafute Nina Ruby zako.Aiseee
Nitafute Nina Ruby zako.
Nitafute Nina Ruby zako.