STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,208
Wanaume kuna dalili ambazo ukiziona mwanamke wako anazifanya mkiwa faraghani ujue wazi hakuna unachofanya. Yaani wewe umejikoki unajua unatoa dozi umejipinda mara ghafla katikati ya mechi unasikia mwanamke anakuuliza "Hivi baby umenunua luku, zilikuwa zimebaki yuniti 2 tu wakati tunarudi?"
Yaani kweli katika ya mechi tamu unadhani mwanamke atakumbuka LUKU??? Au anakuuliza "Hivi baby boss wako yule mrefu yupo kweli?" Blaza ukiona maswali IRRELEVANT kwenye muda RELEVANT ujue unapiga kinanda off key na mwanamke anakutoa kwenye mchezo umalize asepe.
Yaani kweli katika ya mechi tamu unadhani mwanamke atakumbuka LUKU??? Au anakuuliza "Hivi baby boss wako yule mrefu yupo kweli?" Blaza ukiona maswali IRRELEVANT kwenye muda RELEVANT ujue unapiga kinanda off key na mwanamke anakutoa kwenye mchezo umalize asepe.