mawazoyangu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 324
- 65
Ni wiki chache zimepita tangu huyu bwana awe anaongoza kwenye vichwa vya habari vya magazeti. Nakumbuka alisema kuwa hauna haja ya katiba mpya, na dowans lazima walipwe.
Mkuu wa kaya alivyosema kuwa katiba mpya ni lazima akafyata mkia. Ni aibu kwake. Kwa nini asitokee hadharani na kusema kuwa anajiuzulu? kilichokuwa kinampa nguvu ya kuongea ule upuuzi ni kwa kuwa mkuu wa kaya alikaa kimya kwa muda mrefu. alikuwa anajikomba ili aonekane yupo upande wa mafisadi kwa kuwatetea
Mkuu wa kaya alivyosema kuwa katiba mpya ni lazima akafyata mkia. Ni aibu kwake. Kwa nini asitokee hadharani na kusema kuwa anajiuzulu? kilichokuwa kinampa nguvu ya kuongea ule upuuzi ni kwa kuwa mkuu wa kaya alikaa kimya kwa muda mrefu. alikuwa anajikomba ili aonekane yupo upande wa mafisadi kwa kuwatetea