Tofauti yako na yule bi mkubwa aliyekuwa akilia barabarani kuwa kitabu cha allah kimedhalilishwa ni kwamba wewe unajua typing.
Sasa CHADEMA wameshindwa nini?
Na najua mlikuwa na hamu kweli kweli CDM waseme kitu, ndio kwanza Dr.Slaa yuko Shinyanga anakamua M4C kwenda mbele. Majungu yenu na ujinga ni mzigo kwa Taifa
Nasikia yule ninja aliyelia barabarani siku ile ni dadake ZOBA! alituchekeshaje! kama jini juha vile, manake kilikuwa kituko kulia kivile hahahhahahahah!