tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 494
Nashangazwa sana na ukimya wanaoyonyesha wakuu hawa ambayo madhehebu yao yanaongoza kwa kuwa na waumini wengi hasa Dar es Salaam, kuhusu suala la mwenzao Josephat Gwajima, wananchi tulio wengi hatuelewi kinachoendelea hapo zaidi ya kusikia mara nyumba yake imezingirlwa na Polisi!
Mara kahojiwa kwa saa tano, lakini tatizo lake nini kumtukana Pengo lakini pengo mbona alishamsamehe, na kama anayokesi ya kujibu si mumpereke mahakamani, watumishi wa Mungu hebu tuambieni ukweli tatizo nini hapo; Mwingira, Kakobe, Mzee wa Upako.
Mara kahojiwa kwa saa tano, lakini tatizo lake nini kumtukana Pengo lakini pengo mbona alishamsamehe, na kama anayokesi ya kujibu si mumpereke mahakamani, watumishi wa Mungu hebu tuambieni ukweli tatizo nini hapo; Mwingira, Kakobe, Mzee wa Upako.