Ukimya wa jk na mgao wa umeme

bandubandu

Senior Member
Dec 19, 2010
102
28
Kusema kweli ndg zangu wana jf leo nami nimeshindwa kuvumilia kuhusu hili la mgao wa umeme,maana naona mkuu wa nchi this time ameamua kunyamaza kimya na hatuoni tena yale makeke au mbwembwe zile za mwaka 2005 alipoingia madarakani na hatua za dharura kutuokoa ktk mgao mkali wa umeme mwaka huo,au madudu yale waliyoyafanya kwenye issue ya rich wa monduli na dowans ndio inaweza kuwa sababu kuu?hapa ndipo unapoweza kuuona unafiki wa viongozi wetu,mara zote wamekuwa ni watu ambao wanatudanganya lkn linapokuja t
 
Haya ni mambo ya aibu wa utawala kukaa kimya huku wateja wakiathirika. Nashindwa kuelewa ni kwanini mpaka hakuna utaratibu wa mawasiliano ya mara kwa mara baina ya Tanesco au wizara husika na wateja wake. Ningetegemea ya kwamba kutokana na uzito wa tatizo hili kungekuwa na angalau mtu ambaye anngekuwa anatupa sisi wananchi ripoti ya kila wiki ya jitihada zao za kuhakikisha mgao unakwisha.

Kitu kinachonihuzunisha zaidi ni kwamba matatizo haya ya umeme hayana timeline ya ukomo, hatujui ni lini tutaacha kukaa gizani. Wizara na Tanesco ni sharti wawajibishwe kwa hili, tumechoka kulea uozo. Hili si ombi ni dai, tunalipia umeme bwana ni haki yetu kuupata!
 
Back
Top Bottom