St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,634
- 4,519
lakini lazima wakupige mawe kwakuwa paka mweusi ni wa dawa! na hakuna anayekubali kuwangiwa kaka hivyo safari yako ni ndefu kweli
Nina imani kuwa kwa uwezo wa yule aliyeniumba nitafika tu,japokuwa safari ina vikwazo vingi lakini nitajitahidi kukabiliana navyo hadi mwisho wa safari.Lakini unaposema paka mweusi ni wa dawa hapo sikubaliani nawe,mnatuona hivyo kwa kuwa tuko wachache na ni nadra sana kutuona.Ila hatuna madhara yeyote yale.