marekan wametishia kututelekeza watanzania kisa meli za irani.
bora wasitoe kudadek watu wanazini kama mbuziiiiiii siku hizi isitoshe watu wameongezeka bora wapungue kwa ngoma,,,,katoto ka standard 5 kanauza mwili wanaume wanatindua EHEEEE MUNGU FUNGULIA MAGOJWA MENGI YA ZINAAA IKIBIDI YAUWE WATU KAMA KIDERI CHA KUKU asubuhi ukikoowa usiku unazima
Ay, did u mean Generic?Tatizo ni kwamba hizo dawa zinaweza kushuka bei
ikiwa USA itakubali tutengeneze ARV genetics.
Kwa sasa only certain factories can produce them
and the bulk of the cost is inttelectual property and shipping
Ila ikiwa tutaruhusiwa kuzitengeneza nchini basi tutapona.
Njia nyingine ni kuongea na viongozi wa dini huku kwetu
Kama mnavo jua spirituality na udini in general (dini zote)
ni sehem kubwa ya maisha ya waafrica. viongozi wa dini ni viongozi
na baadhi ya dini zetu zina pinga kinga num 1 ya HIV: condom
So long as hatujikingi ugonjwa unazidi kusambaa (geometric progression)
Haswaaaaa... asante sana mkuu. Generic was the word.Ay, did u mean Generic?
Aisee Doctor heri yako wewe uliwa Botswana na kazi ukapata sisi huku ndo tuko kwenye mgomo na tumeshaambiwa LIWALO NA LIWE sasa ukipata chansi nyingine huko si hata unitumie msg jamaa angu.Heshima mbele wakuu
kuna habari mbaya kabisa hapa Botswana,serikali ya nchii hii imeamua kusimamisha kutoa ARV bure kwa raia zake,yaani inasikitisha mno kwa sababu serikali imesema wazi imezidiwa na gharama kubwa za ku provide ARV ambayo cost yake ni pula 1000 ambayo ni sawa na shilingi laki mbili kwa mwezi kwa mgojwa mmoja!nimeshtuka sana niliposikia hiyo gharama kubwa ya ARV kwa kweli waafrica tuna future mbaya sana ambayo haieleweki!sijui kwa nchi zingine itakuwaje kama Botswana inashindwa,kumbe gharama ya ARV ni kubwa kiasi hiki sielewi kama wanaotumia dawa wataweza kununua hizo dawa kila siku! sielewi!
Abiria chunga mzigo wako...he he he!.kudadadeki....huu msala....
Ukimwi sio ugonjwa ni mbwembwe za wazungu tu