Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
Heshima mbele wakuu
kuna habari mbaya kabisa hapa Botswana,serikali ya nchii hii imeamua kusimamisha kutoa ARV bure kwa raia zake,yaani inasikitisha mno kwa sababu serikali imesema wazi imezidiwa na gharama kubwa za ku provide ARV ambayo cost yake ni pula 1000 ambayo ni sawa na shilingi laki mbili kwa mwezi kwa mgojwa mmoja!nimeshtuka sana niliposikia hiyo gharama kubwa ya ARV kwa kweli waafrica tuna future mbaya sana ambayo haieleweki!sijui kwa nchi zingine itakuwaje kama Botswana inashindwa,kumbe gharama ya ARV ni kubwa kiasi hiki sielewi kama wanaotumia dawa wataweza kununua hizo dawa kila siku! sielewi!
kuna habari mbaya kabisa hapa Botswana,serikali ya nchii hii imeamua kusimamisha kutoa ARV bure kwa raia zake,yaani inasikitisha mno kwa sababu serikali imesema wazi imezidiwa na gharama kubwa za ku provide ARV ambayo cost yake ni pula 1000 ambayo ni sawa na shilingi laki mbili kwa mwezi kwa mgojwa mmoja!nimeshtuka sana niliposikia hiyo gharama kubwa ya ARV kwa kweli waafrica tuna future mbaya sana ambayo haieleweki!sijui kwa nchi zingine itakuwaje kama Botswana inashindwa,kumbe gharama ya ARV ni kubwa kiasi hiki sielewi kama wanaotumia dawa wataweza kununua hizo dawa kila siku! sielewi!