kukwambia kuwa anaogopa mimba,si kwamba ukimwi hauogopi,anauogopa pia ila kukutamkia ni ngumu kidogo usije ukamuelewa vibaya.hata mimi ningekwambia naogopa mimba,kumbe na STD na STI naziogopa,hata tukipima condom muhimuHuko mbali dada,..
mwingine utakuta anakwambia
"speaker vaa condom".....
Unauliza kijinga jinga tu,..."kwanini?...unaogopa nini kwani?"
anajibu "Naogopa mimba",....yaani wengi wanaogopa mimba kuliko hata ukimwi,...
Ila honestly,nimegundua watu wengi wanakufa kwa uoga wa kupima tu,.....
Na wengine tuna ukimwi wa "mawazo" tu na unatuua hivi hivi,....kisa?uoga wa kupima