Rasib
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 395
- 45
Hi!
Jamaa moja alikuwa anaishi na mkeo, mungu akawajalia mtoto ambaye anatakribani mwaka moja na miezi saba. Basi wapendwa hao walipendana sana, hata inapofika muda wa usiku mkeo akitaka kwenda haja ndogo mumeo alikua anam-escot mkeo kwenda kutna hiyo haja ndo. Siku moja mumeo alichelewa kurudi nyumban kutakana na majukumu ya kikazi hadi ilifika saa 5 usiku hakufika kwa sababu ya kikazi(police), basi mkeo wa fudedido huyo aliogopa kwenda kutoa haja hyo nje akamua kumfata mtoto wake pale anapolalaga na kumhamisha mtoto kitandani mwake na kujisaidia haja ndogo kwenye kitanda cha mtoto. Unajua kilichofata?
Basi cha kushangaza mama huyo baada ya kurudi chumbani mwake akakuta mtoto kanya kajaza kitanda...utafanya nini kama ndo wewe?
Jamaa moja alikuwa anaishi na mkeo, mungu akawajalia mtoto ambaye anatakribani mwaka moja na miezi saba. Basi wapendwa hao walipendana sana, hata inapofika muda wa usiku mkeo akitaka kwenda haja ndogo mumeo alikua anam-escot mkeo kwenda kutna hiyo haja ndo. Siku moja mumeo alichelewa kurudi nyumban kutakana na majukumu ya kikazi hadi ilifika saa 5 usiku hakufika kwa sababu ya kikazi(police), basi mkeo wa fudedido huyo aliogopa kwenda kutoa haja hyo nje akamua kumfata mtoto wake pale anapolalaga na kumhamisha mtoto kitandani mwake na kujisaidia haja ndogo kwenye kitanda cha mtoto. Unajua kilichofata?
Basi cha kushangaza mama huyo baada ya kurudi chumbani mwake akakuta mtoto kanya kajaza kitanda...utafanya nini kama ndo wewe?