platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,349
- 11,114
Nina rafiki ingawa si kiviile sana, juzi tulikuwa tunapiga story za hapa na pale kuhusu maisha.
Ghafla tukaingia kwenye story za mahusiano ambazo zimenifanya niandike uzi huu.
Anasema aliambiwa na dada yake kwamba alipokuwa akipiga story na wifi (mchumba wa rafiki yangu) alimwambia
"Mimi sina wasiwasi kabisa na mchumba wangu nina hakika yeyote atakayemchukua atanirudishie baada ya siku tatu"!!!
Nikamuuliza kwa nini g/f wako anasema hivyo, akajibu ah inawezekana hasira zangu zipo mlangoni!!
Ghafla tukaingia kwenye story za mahusiano ambazo zimenifanya niandike uzi huu.
Anasema aliambiwa na dada yake kwamba alipokuwa akipiga story na wifi (mchumba wa rafiki yangu) alimwambia
"Mimi sina wasiwasi kabisa na mchumba wangu nina hakika yeyote atakayemchukua atanirudishie baada ya siku tatu"!!!
Nikamuuliza kwa nini g/f wako anasema hivyo, akajibu ah inawezekana hasira zangu zipo mlangoni!!